Mimi kuna kitu kidogo kimenitia mashaka hizi story inaweza kuwa labda sababu unajuwa watoto hawajui uongo sijaona hata sehemu moja watoto hata wakitoa machozi tu na sio rahisi kufiwa na mzazi usilie mtu mzima tu utalia ila watoto picha zote wako very relax. sina uhakika ila nasema haya yanawezekana.