Kabati LA aluminum nauza

Kabati LA aluminum nauza

Wakuu nna kabati LA aluminum kwajili yakuwekea bidhaa Dukani, Kama duka la dawa AU LA vipodozi,, nauza efu themanini tu kwa aliyepo maeneo ya Tegeta au bunju,, au afrikana, ,

Nimebadili biashara so sina kazi nalo,, ni kubwa
ungekuwa wewe ungetoa hiyo themanini kwa kikabati hiko?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom