JWTZ na helikopta za Mtumba

Hii iliyopata ajali ni matokeo ya huo ununuzi batili?

Absolutely! Alinunua huyohuyo Vithilan na jeshini pia, Nakumbuka za jeshi mbili zilianguka kipindi kilekile, Moja iliangukia serengeti jamaa wakipiga picha za Kitallii. Ndio maana Jana mimi nilisema Wafe tu hao wakina Kova maana hayo ni matokeo ya Ufisadi wao.
 

Nakubaliana na wewe bora wangekufa tu labda ndo wangepata fundisho
 
Hv bongo hakuna private investigator company zaidi ya hawa waandishi wa habari,kama zipo waibue mambo ya kufanya watambulike.
Kama cruel zipo za kutosha kwanini uchunguzi usifanyike maana huku serikalini utanyamazishwa mdomo kisa ni SIRI YA USALAMA WA TAIFA NA HABARI HUISHIA HAPO.
 
Wahindi ndio wezi wakubwa ila wanajia jinsi ya kutoa rushwa pia. Bora mchina kuliko Mhindi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…