Wanakula vizuri ila ni wepesi sana unavyowaonaMbona jeshi letu la siku hizi vijana wanavitambi na wanene???
ndio tumebarikiwa ila zaman. Nikiangalia hizo picha na hivyo vitambi nadhan kuna kumbi nyingi za starehe humo maporin congoKwa upande wa jeshi kusema ukweli Tanzania tumebalikiwa sana.
mjeda kamwe hatakiwi awe na kitambi.Wanakula vizuri ila ni wepesi sana unavyowaona
Dah.... tumebalikiwa??Kwa upande wa jeshi kusema ukweli Tanzania tumebalikiwa sana.
We bwege kweli,unafikiri kule msituni kuna "vibarua vya starehe vya kupiga box" kama hapo Copenhagen.acha masihara wewe.ndio tumebarikiwa ila zaman. Nikiangalia hizo picha na hivyo vitambi nadhan kuna kumbi nyingi za starehe humo maporin congo
Misitu ya ndani ya tz,inalindwa na jwtz?.jiongeze kidogo kwa kutafuta articles zinazo ainisha majukumu ya jwtz.!
!
Wakati wanajifanya wababe katika misitu ya huko Congo, huku kwetu misitu yetu haipitiki usiku mwisho ni saa nne tu. Shame on you wote mnaosifia ujinga kama huu wa kutafuta amani na usalama Congo meanwhile kwenu hakuna hiyo amani wala huo usalama. Pumbavu kabisa.
great thinker labda unifaham vizuri. Nikudokeze tu kidogo niko kwenye system. Nina mafunzo ya hali ya juu ya kupigana na kujilinda. Kwenye silaha ni hatari ninaweza kukushoot kwa nyuma bila kukosa shabaha nikielekeza mtutu upside down began huku nakimbia kwa kasi ya ajabu sana.Kati hao wanao onekana hapo pichani,nenda kamchague mmoja uombe nae pigano tujue kati ya mwenye kitambi na wewe usie nacho nani atakalishwa.
Si wanakula vizuri! We ulitaka wawe malnourished?Mbona jeshi letu la siku hizi vijana wanavitambi na wanene???
Basi sawa.great thinker labda unifaham vizuri. Nikudokeze tu kidogo niko kwenye system. Nina mafunzo ya hali ya juu ya kupigana na kujilinda. Kwenye silaha ni hatari ninaweza kukushoot kwa nyuma bila kukosa shabaha nikielekeza mtutu upside down began huku nakimbia kwa kasi ya ajabu sana.
hahahaWe bwege kweli,unafikiri kule msituni kuna "vibarua vya starehe vya kupiga box" kama hapo Copenhagen.acha masihara wewe.
We bwege kweli,unafikiri kule msituni kuna "vibarua vya starehe vya kupiga box" kama hapo Copenhagen.acha masihara wewe.
Misitu ya ndani ya tz,inalindwa na jwtz?.jiongeze kidogo kwa kutafuta articles zinazo ainisha majukumu ya jwtz.
kwa taarifa yako kitambi siyo afya ni utapia mloSi wanakula vizuri! We ulitaka wawe malnourished?