Dahh
sante sana
Nashukuru sana, ubarikiwe.
Maneno yako yamejaa busara na hekima. Asante!
Muda huponya majeraha yote, hamna haja ya kung'ang'ania maumivu ya moyo
Asante ubarikiwe na wewe jioni njema
Thanks, maneno yako yamenifariji sana najiona mpya kabisa sasa baada ya kuyatafakari
mie sina ya ziada mkuu nimekugongea senks hapo juu.uliosema ni ya busara sana.
Asante sana kwa maneno ya faraja ubarikiwe na bwana