Watanzania wengi hawawajui vizuri watoto wa mwalimu, anayejulikana zaidi ni Makongoro tu!! Hii familia ililelewa kwa misingi ya Usawa!!
Naambiwa na mdau mmoja kwamba enzi hizi alisoma na Madaraka pale Tambaza, alikuwa anakuja na baskeli yake toka kwao msasani hadi shule wakati watoto wa mawaziri wengine wakiletewa na kombi.
Mwalimu alikuwa ni mjamaa kweli kweli aliyeamini usawa kwa binadamu wotei!!