Habari wadau.
Leo katika pitia pitia kwenye mtandao, niliingia kwenye site ya hawa jamaa wa kazibongo, nikakuta wameweka tangazo la post ya teller, source ni the guardian la tarehe 22 April, sasa tatizo ni hiyo email iliyowekwa..kila nikijaribu kutuma application wanarudisha majibu kuwa postmaster hawaitambui email.
Mwenye hilo tangazo atuwekee, au mwenye kujua juu ya hili atujuze.
Ahsante.