Naomba msaada, m nimetoka chuo mwezi wa nne mwaka huu VETA Shinyanga. Nina cheti kizuri na nina 4 ya 28 ya kidato cha nne. Naomba msaada kwa atakayekuwa na connection hata niwe msaidizi tu jamani, namba yangu ya simu 0746311461.
Naomba msaada m nmetoka chuo mwez wa nne mwaka huu veta shinyanga nna cheti kizuli na nna 4 ya 28 ya kidato cha nne naomba msaada kwa atae kua na connection ata niwe msaidizi tu jamani namba yana ya simu 0746311461View attachment 2428349
Mtambo gani mwingine unafahamu kuoperate? Mimi binafsi nimejifunza wheel loader, excavator na backhoe loader. Natafuta mahali nipate uzoefu kwenye mtambo wowote kati ya hizo.