Jipatie website yako kwa bei nafuu kabisa!!!

Jipatie website yako kwa bei nafuu kabisa!!!

Michael Amon

JF-Expert Member
Joined
Dec 22, 2008
Posts
8,769
Reaction score
3,644
734578_273389506122745_721624833_n.jpg
 
Swali la ufahamu; nikishatengeneza hiyo website Malipo kwa mwezi/mwaka ni shilingi/usd ngapi?. Nilisikia kuwa huwa zinalipiwa na wanaolipwa ni akina nani?
 
una modify au unatengeneza maana watanzania huwaga ni wakali wa kutumia joomla na wordpress hawana muda wakukaa chini na kuandika code.
 
una modify au unatengeneza maana watanzania huwaga ni wakali wa kutumia joomla na wordpress hawana muda wakukaa chini na kuandika code.

coding ni time consuming, nani yuko tayari kulipia huo muda? whats wrong with joomla na word press? Au unadhani watu hawajui coding? Mbona website nyingi sana duniani na za makampuni makubwa na taasisi nyingi za serekali zinatumia joomla? Kama unataka kuzijua ingia kwenye website ya joomla halaf tafuta "who uses joomla" utaona....
Sio kila kitu ni kucritisize tu... Biashara ya templates na CMS za bure haijaanzia Tanzania... (Kawaulize Wamarekani kwanini Walianzisha na Nani wateja)
 
coding ni time consuming, nani yuko tayari kulipia huo muda? whats wrong with joomla na word press? Au unadhani watu hawajui coding? Mbona website nyingi sana duniani na za makampuni makubwa na taasisi nyingi za serekali zinatumia joomla? Kama unataka kuzijua ingia kwenye website ya joomla halaf tafuta "who uses joomla" utaona....
Sio kila kitu ni kucritisize tu... Biashara ya templates na CMS za bure haijaanzia Tanzania... (Kawaulize Wamarekani kwanini Walianzisha na Nani wateja)

Haa sa kila website ndo ifanane?? Nikope sample uone utamu wa coding?
 
Ili kudesign template yako binafsi na zisifanane na za wengine si lazima ujuwe coding. Mambo hayo watu hawahitaji tena siku hizi na utapoteza muda bila sababu yeyote.

Kwa mfano angalia website HII sijafanya coding yeyote na hiyo ni template nimedesign mwenyewe kwa kutumia softwares. kama una mwingine umemuona nayo niambie.

Mkuu ukubali sikubali kujuwa code si kujuwa kudesign website wala hakuna uhusiano. Toa link ya web 2 ulizo-code na unadhani ni unique kama unavyotaka kuwaaminisha watu hapa.

Haa sa kila website ndo ifanane?? Nikope sample uone utamu wa coding?
 
Ili kudesign template yako binafsi na zisifanane na za wengine si lazima ujuwe coding. Mambo hayo watu hawahitaji tena siku hizi na utapoteza muda bila sababu yeyote.

Kwa mfano angalia website HII sijafanya coding yeyote na hiyo ni template nimedesign mwenyewe kwa kutumia softwares. kama una mwingine umemuona nayo niambie.

Mkuu ukubali sikubali kujuwa code si kujuwa kudesign website wala hakuna uhusiano. Toa link ya web 2 ulizo-code na unadhani ni unique kama unavyotaka kuwaaminisha watu hapa.

[TABLE="class: hbtbl, width: 100%"]
[TR]
[TD="class: stxt2"]23 Feb 13, 09:19 AM
fadhili: Karibu mgani, tafadhari acha ujumbe wako hapa[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="class: stxt"]23 Feb 13, 09:19 AM
fadhili: pen testing[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="class: stxt2"]
[older messages]​
[/TD]
[/TR]
[/TABLE]
Haijaniimpress cant pay for such kind of thing.....
Ebucheck hizi afu uone tofauti

cheki hii
na hii

hizo za code unacheck impression kwanza afu angalia na muda inayotumika kufungua plus jaribu kufungua kwenye browser zote na kwenye handheld device.. Kubali mkatae kutumia templates ambazo zipo ni uvivu tu lakini there z no need to kubishana cheap is expensive...
 
Haa sa kila website ndo ifanane?? Nikope sample uone utamu wa coding?
Kufanana kwa website hakuhusiani na tempelates zinazotumika. Ni Uvivu au kutokujua ku edit hizo codes. Naweza nikakukutengenezea website zaidi ya tano tofauti zisizofanana hata kidogo based on only one template Nadhani Hujaelewa maana ya tempelate na hujafahamu kama hizo ni skeletons tu.
 
Kwa ujuzi wangu mdogo katika mambo ya web development CMS ni nzuri lakini kama profession yako ni web developer au web designer kujua kutumia CMS peke yake haitoshi, lazima ujue server side scripting languages kama PHP,ASP.NET n.k vile vile ujue client side scripting languages na markup languages mbali mbali kama HTML,javascript,CSS,XML,AJAX n.k. bila kusahau database concepts.As a programmer Its not a good idea kutumia tu scripts za watu bila kuwa na uchunguzi wa nini kinafanyika nyuma ya pazia.

Sometimes kutumia CMS kwa a simple website inakuwa overkill,kama kuua nzi kwa kutumia nyundo, but the more complex your project the more helpful the use of CMS na ndio maana hata kwenye job descriptions nyingi wanaweka requirement ya knowledge on CMS.

At the end of the day,mteja wako anataka kuona product inayofikia mahitaji/matakwa yake it doesnt matter umetumia njia gani though kuna cases utakuwa required kudevelop a custom application based on specified languages(hasa kwa cases tha inhouse developement) hapo no CMS will save you.

Kuna maswali mengi ya kujiuliza tunapofanya assesment ya quality ya website au software product muonekano wa nje peke yake hautoshi there are more issues kama
-level of security,
-cross browser compatibility (unavyoiona kwenye web browser yako e.g mozilla si kama user mwingine wa ie6 atakavyoiona)
-Support to disabled users (blindness etc...hii wengi huwa tunaipotezea)
-Scalability (inawezaje kuperform pale watu wanaoitumia wataongezeka)
-Ubora wa code zako (urahisi wa kufanyia marekebisho/uboreshaji)
-Upatikanaji wa website yako kwenye search engine kama google,yahoo,bing (Search Engine Optimization aka SEO)

Jiulize mara ya mwisho kufanya validation ya HTML na CSS code zako kuangalia if they adhere to standards za W3C ni lini?

Hizi CMS components zake ni language zile zile nilizozitaja hapo juu na hata wewe unaweza kutengeneza framework yako mwenyewe e.g in PHP (si lazima iwe user friendly kwa kila mtu since unaitumia wewe mwenyewe) na ukafanya reuse ya code kwenye project nyingine na kuendelea kuiboresha framework yako as time goes on.

I am not a web developer or designer lakini nafahamu mambo machache yaliyo muhimu katika web development/design and personally i discourage kushusha thamani ya websites especially complex dynamic websites zinazofanya interaction na databases kugenerate content, ni kuharibu market iliyo-changa hapa Tanzania.
 
Haya mkuu, endelea na kazi zako za kuweza ku-code website halafu huwezi kudevelop website visitors counter kiasi na wewe unaingia kuchukuwa readymade scripts za wengine!!!

Siku hizi zipo gadgets/softwares inaweza kukutolea website katika html na cms based content websites with just a single click of mouse! yaani ukishamaliza kudesign website, unaamuwa wewe output product katika html au cms based websites(Joomla,wordpress,drupal etc...).

Ni kipi hicho ulichofanya katika hizo site ulizo-code ambacho hakiwezi kufanyika na wordpress au joomla?. Siku hizi mkuu unaandika article katika word unaipaste katika html convertors online, tayari ushapata html codes.

We endelea tu na dharau zako.


[TABLE="class: hbtbl, width: 100%"]
[TR]
[TD="class: stxt2"]23 Feb 13, 09:19 AM
fadhili: Karibu mgani, tafadhari acha ujumbe wako hapa[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="class: stxt"]23 Feb 13, 09:19 AM
fadhili: pen testing[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="class: stxt2"]
[older messages]​
[/TD]
[/TR]
[/TABLE]
Haijaniimpress cant pay for such kind of thing.....
Ebucheck hizi afu uone tofauti

cheki hii
na hii

hizo za code unacheck impression kwanza afu angalia na muda inayotumika kufungua plus jaribu kufungua kwenye browser zote na kwenye handheld device.. Kubali mkatae kutumia templates ambazo zipo ni uvivu tu lakini there z no need to kubishana cheap is expensive...
 
CHECK click hii inaudhaifu gani au strenth gani Fadhili

Internal Server Error
The server encountered an internal error or misconfiguration and was unable to complete your request.
Please contact the server administrator, support@one.com and inform them of the time the error occurred, and anything you might have done that may have caused the error.
More information about this error may be available in the server error log.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom