Jipatie vitabu mbalimbali kutoka Tanzania Educational Publishers Ltd, kwaajili ya Kilimo na Mifugo, Sheria na Haki za Binadamu, Hadithi za watoto /riwaya, Ufundi na tekinolojia, siasa na Maendeleo na Vingine vingi. Ofisi yetu ipo Bukoba mjini mkoani Kagera. Kwa maelezo zaidi tupigie simu no +255 784 690277/ +255 768023019,baruapepe tepultd@yahoo.com au tembelea tovuti yetu www.tepu.co.tz.
SOMA VITABU UPATE MAALIFA
Karibu sana.