Kama kichwa cha habari, kilivyo hapo juu, dagaa wasafi wanapatikana kwa Bei rahisi sana Tsh. Laki na sitini ( 360,000 ).
Tupo Dsm, mikoani pia tunatuma,
Ni pm kwa Mawasiliano zaidi
karibuni sana
Mzigo upo wa kutosha mkuu, karibu tufanye biashara!Kichwa na kiwiliwili cha habari yako naona kabisa kinafanana na wewe na dagaa wako. Sijui ulikua unakimbilia wap
Ndio mkuu lina ujazo wa debe 15, karibu tufanye biasharaGunia moja ndio laki 3 na 60 elfu?au
Nani anakutania tena mkuu?Msitanie biashara
Mbona bei ghali sana mkuu kwanini! Hapo bei ya kilo nisawa na elfu 6500 bei ya jumla je rejareja utauzaje!Ndio mkuu lina ujazo wa debe 15, karibu tufanye biashara