Jamani naombaeni mnisaidie namna ya kuflash simu hii kwani nikibonyeza batan ya power na ya kupandishia sauti inanilete recovery na boot lakini nikibonyeza recovery inaandika no command msaada wenu jamanii
Jamani naombaeni mnisaidie namna ya kuflash simu hii kwani nikibonyeza batan ya power na ya kupandishia sauti inanilete recovery na boot lakini nikibonyeza recovery inaandika no command msaada wenu jamanii
Jaribu factory mode ya power na volume down kama ukiona sehemu imeandikwa emmc shusha hapo halafu bonyeza power button, kama haina hiyo emmc jaribu kwa miracle crack software.
Jamani naombaeni mnisaidie namna ya kuflash simu hii kwani nikibonyeza batan ya power na ya kupandishia sauti inanilete recovery na boot lakini nikibonyeza recovery inaandika no command msaada wenu jamanii
ikishaleta command subir kama sekunde 10 kisha kwa pamoja bonyeza volume up na power key italeta menu ya ku wipe ILA KUMBUKA SIMU HIZO ZINA ANDROID 6 hvyo zitakupeleka kwenye google account uiweke uliyokuwa unaitumia
Jaribu factory mode ya power na volume down kama ukiona sehemu imeandikwa emmc shusha hapo halafu bonyeza power button, kama haina hiyo emmc jaribu kwa miracle crack software.