Hata mm nahitaji msaada ktk hili maana nimejaribu kutumia true caller lkn cjafanikiwa naiseti simu sihitaji kuwacliana na MTU kinachotokea MTU hiyo anaponipigia simu inaita kidogo then inakata sasa hili silitaki ninachokitaka nisipatikane kabisaaaa msaada tafadhali