Jinsi ya ku-secure switch yako ya cisco

umejifunza nini mkuu kutokana na hilo somo hapo juu?
kama post yenyewe inavyosema,'how to secure a switch',na pia ni juzi tu nilikuwa nasoma mambo ya Secure Shell(ssh),FTP,LDAP,etc so nimeona moja ya application zake.
 
kama post yenyewe inavyosema,'how to secure a switch',na pia ni juzi tu nilikuwa nasoma mambo ya Secure Shell(ssh),FTP,LDAP,etc so nimeona moja ya application zake.

Naam, nafurahi kusikia hivyo mkuu.
 

sikubaliani na blocking http na allowing ssh.

1-kwa ssh kama iko wel secured sawa.
kama uko ndani ya firewall na ssh yako ina weza acces njee(outbound) kwenye pc ambayo iko kwenye public net labda desktop ya nyumbani au pc yoyote nje ya firewall kwa process hii una create a tunnel na watu walio kwenye public network wana weza tumia hiyo upenyo wa ssh ku acess network nyenu.firewall yenu haiwezi ditect kama ni incoming connection badala yake itaona kama data ya connection ya outbound ya ssh ilio kuwa established,hapa attacker anafanya vyake ila kama mko very secure fine


2-kwa http how will you acces the outside world? nijuavyo you block some website like facebook -ofisini na adult sites nyumbani ila not the whole http

mtazamo wangu tu huu.
 

Mkuu cisco devices can be configured either kwa kutumia web browser au CLI yaani Command Line Interface. Kublock http acces means ninadisable mtu asiweze ku-access switch hiyo na ku-modify configurations kwa kutumia web browser.

kwenye kipengele cha kwanza sijakuelewa kidogo hivi unaelewa kazi ya SSH? Unajua kuna tofauti kubwa kati ya ku-acces na ku-login? rejea maelezo yangu kuhusu SSH.
 

Ok ntai tafuta hii switch ni fanyie kazi nione,sina exp nayo.
 
Unataka kuhack ili iweje? Ukifanikiwa itakusaidia nini?
sikiliza nikwambie mkuu anything ukifanya katka negative way lazima ufanikiwe en licha ya hivyo pia unaongeza knowledge katka kuboresha usalama coz unapo bypass na ukafanikiwa unagundua weakness iko wapi so wacha watu wajaribu mbona huwa mnapenda sana kupata trick za kutumia modem bira kulipia huoni hyo nayo ni hacking anyways tekinolojia ni pana sana bro en haipo stagnant kam watu wanavyowezA kufikir kila kukicha zina patikana njia mbadala thats y kuna vitu vinaitwa firewall na antivirus ....:yo:
 

I just wanna remind u the effects of hacking kama unataka kuhack hack ya kwako mwenyewe lakini usihack ya mtu maana ukishikwa ha ha haaa!!! Mimi yalishanikuta...anyway do it at your own risk ila yakikukuta usije ukasema hukuambiwa.
 
1. interface range fa0/1-24

2. switchport mode access (unaifanya port iwe kwenye access level).

3. switchport port-security (unaTurn on port security kwenye switch yako).

4. switchport port-security maximum 1 (only one computer ndiyo itakayoweza kuwa connected kwenye hiyo port husika).

5. switchport port-security mac-address sticky (computer zilizokuwa connected kwenye ports za switch kwa wakati huo ndiyo zitakazokuwa na uwezo wa kuPing).

6. switchport port-security violation shutdown (mtu akiViolate rules, port inaShutdown).

Ninashukuru mkuu kwa kunikumbusha haya mavitu, ninajiandaa kwa online paper ya CCNA (Cisco Certified Network Associate).

SSH, Spanning-Tree Protocol, RIPv2, EIGRP, frame relay, PPP, DHCP, NAT, OSPF na IS-IS ni raha sana ukijua kuzinguana nazo kwenye cisco devices (routers).

Ukizijua configurations za cisco routers na switches ni raha sana. Kama kuna mtu ana 800 US Dollars ambazo hazina kazi, akasome course ya CCNA. Ni nzuri sana.

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 

Naam, umenena vyema mkuu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…