Jiko la kukodi

Jiko la kukodi

Mkuu kuna jiko na bar linakodishwa lipo basihaya barabara ya bagamoyo road. Laki 5 kwa mwezi.
 
biashara mnauliza in public,, majibu mnataka PM,,kweli watu wabinafsi,, au unafkr kuna watu watakuwahi? acha watu tukupe fursa in public na wenye uhitaji kama wewe wapate faida pia,, ndo maana ya kuanzisha uzi,, cs naimani na wewe mtoa mada umeshawah kufaidika kupitia nyuzi za watu mbalimbali

Nawasilisha........
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom