jiko la gesi plate 2 nataka 80k ya fasta

jiko la gesi plate 2 nataka 80k ya fasta

nixp

Senior Member
Joined
Aug 6, 2013
Posts
101
Reaction score
38
Jiko limetumika miezi 4 lipo vizuri halina tatizo lolote nakupa na pipe yake ya 1.5m jamani kwa anaetaka jiko ni orignal
Kama unataka na upo serious bei yangu ni hiyo 80k nicheki kwa whatsup,txt or piga namba 0716917896 nivizuri ukanicheki kwa sm kuliko ukitext huku jamii coz kuna muda nakuwa sipo online
 

Attachments

  • 20171003_211345.jpg
    20171003_211345.jpg
    186.8 KB · Views: 196
  • 20171003_211301.jpg
    20171003_211301.jpg
    160.6 KB · Views: 144
Jiko limetumika miezi 4 lipo vizuri halina tatizo lolote nakupa na pipe yake ya 1.5m jamani kwa anaetaka jiko ni orignal
Kama unataka na upo serious bei yangu ni hiyo 80k nicheki kwa whatsup,txt or piga namba 0716917896 nivizuri ukanicheki kwa sm kuliko ukitext huku jamii coz kuna muda nakuwa sipo online
Grams ngapi ya gesi per hour inatoa?
 
Mkuu, mapya wanauza 60k wewe kuu kuu unataka 80k?
Mkuu kabla ya kuongea ili uonekane unajua sana mwenyewe ufanye research mimi siyo mpumbavu kitu cha 60k niweke 80k haya majiko yanatofautiana na brand so na bei ni tofauti hilo jiko nimenunua 100k mwezi wa 4 na hapo nimeweka 80k coz natoa na pipe ukumbuke pipe haiuzwi na jiko .sasa hizo swaga za kizaramu sijui tena wanakuwaga nazo watoto wa kike sasa sijui ww ni jisia gani kama ni mwanamke siwei kukulaumu ila usidakie kitu maana kama tekno inauzwa 60k basi samsung ,lg, sony zote zitakuwa zinauzwa 60k
 
Mkuu kabla ya kuongea ili uonekane unajua sana mwenyewe ufanye research mimi siyo mpumbavu kitu cha 60k niweke 80k haya majiko yanatofautiana na brand so na bei ni tofauti hilo jiko nimenunua 100k mwezi wa 4 na hapo nimeweka 80k coz natoa na pipe ukumbuke pipe haiuzwi na jiko .sasa hizo swaga za kizaramu sijui tena wanakuwaga nazo watoto wa kike sasa sijui ww ni jisia gani kama ni mwanamke siwei kukulaumu ila usidakie kitu maana kama tekno inauzwa 60k basi samsung ,lg, sony zote zitakuwa zinauzwa 60k

Acha matusi wewe, hayo majiko ya kichina yanapatikana mpaka kwa 50k.
 
SIsi ni wauzaji wa HomeDecors kwa bei nafuu zaidi kuliko wote karibu ujione.
KWA MAHITAJI YA
♦️PAZIA
♦️ MAUA NA MAPAMBO YA NDANI
♦️FURNITURE
♦️KITCHENWARE
Instaa@dollrubii_decor
TUNATUMA MIKOA YOTE🇹🇿
WHTAP|📞 0699306065

Wale wa majiko bei nafuu tukutane
@dollrubii_vyombo
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom