View attachment 2584885
Jicho la Tanzania ni Taasisi mahususi kwaajili ya watanzania wazalendo walioko ndani ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania wenye nia ya dhati na thabiti ya Kutoa elimu ya Uraia,Utawala bora,Utunzaji wa
Madhingira,Ukatili wa kijinsia,Afya,Ujasiriamali,Tehama, maadili na uzalendo kwa jamii na kutambua nafasi na mchango wa kila mmoja katika kujiletea maendeleo…