Waziri wa Mawasiliano na Teknolojia ya Habari Na Aliyekuwa (Mbunge Ukonga) Jerry Silaa akizungumza Na Wananchi Wa Kitunda Jimbo La Ukonga Katika Eneo Ambalo Atakabidhiwa Mkandarasi Barabara Ya Banana,Kitunda,Kivule Mpaka Msongola Kwaajili Ya Kuanza Ujenzi Hivi Karibuni