Jengo linauzwa lipo Chanika

muhala.jr

JF-Expert Member
Joined
Jul 25, 2014
Posts
751
Reaction score
659
Habari.

Kuna jamaa ana-emrgence anauza eneo lake lipo Chanika, unashuka Kituo cha Buyuni kutoka Stand hadi hapo mwendo ni dakik 15.

Kina nyumba ipo katika lenta ya vyumba viwili na kimoja ni master. Kuna sebule, choo cha public na eneo la 28×30. Umeme upo jirani.

Bei ni milioni 7

Mawasiliano: 0744265683



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Dar raha sana. Eneo la 28 X 30 plus structure kwa 7 Million? Huku Arusha hilo eneo bila nyumba haipunguu 30 million
 
Na mimi hiyo bei imenishangaza kwa kuwa ndogo nipajuavyo Chanika. Ila jamaa kaishasema ni suala la shida. Tumtakie kupata mteja haraka!
Dar raha sana. Eneo la 28 X 30 plus structure kwa 7 Million? Huku Arusha hilo eneo bila nyumba haipunguu 30 million

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…