Jemedari wa Tanzania mpya uko wapi?

Tajiri mweusi

Member
Joined
Feb 13, 2012
Posts
61
Reaction score
18
Habari wanajamvi nimekaa nikawaza sana huyu kamanda wa tanzania mpya katiba ya wananchi Deusi Kibamba amepotelea wapi? kibamba Jitokeze muda wa majeruhi tupate Tanzania mpya
 
Ila kama hakubaliani bora kukaa kimya kuliko kuongea mbofumbofu
 
kweli huyu jamaa amejitunzia heshima yake kwenye siasa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…