"Mwanadamu mwenye heshima iwapo hana akili amefanana na mnyama apoteaye"
Wachunguze hao wanaopambana na maneno kabla ya vitendo ...
"Aonavyo mtu nafsini mwake ndivyo alivyo"
Kama wanapambana kabla ya kuzuiwa basi ndivyo walivyo, wamejipambanua waziwazi.
Heri kijana maskini mwenye nguvu kuliko Mfalme mzee tajiri mpmv!