Je, wajua? - Special Thread

ha ha ha..
kauli mbiu yao nazani ni hapa mpango tu..
lkn nazani nature inahusika hapa maana hawa jamaa wangekuwa wengi kuku tungewalaza kitandani...
Sijui huo uwezo wanakuwa nao mpaka uzeeni?
 
Ndio maana anawivu sana, akimuona mwanaume cha kwanza anarukia korodani......hata majani yakimgusa mkewe anayatafuna..... hataki mkewe apate usumbufu wowote ule.
 
Clouds 360!!!!
 
Ndio maana anawivu sana, akimuona mwanaume cha kwanza anarukia korodani......hata majani yakimgusa mkewe anayatafuna..... hataki mkewe apate usumbufu wowote ule.
duuuh kicheche anadhuru watu?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…