Leonardo da vinci jina lake kamili ni
LEONARDO DI SER PIERO D' ANTONIO DI SER PIERO DE SER GUIDO DA VINCI
Huyu jamaa alikua na kipaji cha ajabu, alikua anachora kwa mkono wa kushoto huku ule wa kulia akiandika kwa wakati huo huo. Uchoraji wake ulikua ni next level na amechora picha nyingi maarufu.
Msome maana ana vitu vingi siwezi kuviweka vyote