Je wajua konokono wameumbwa wakiwa na jinsi mbili? Basi konokono atakayemuwahi mwenzake na kumpanda ndio atakaye beba mimba msimu huo. Imagine ingekuwa ni wanadamu tungeoa?
Je wajua konokono wameumbwa wakiwa na jinsi mbili? Basi konokono atakayemuwahi mwenzake na kumpanda ndio atakaye beba mimba msimu huo. Imagine ingekuwa ni wanadamu tungeoa?
Lakini pia je wajua asilimia kubwa ya wanadamu tulipaswa tuandikie mkono wa kushoto.Wengi tumejikuta tunaandikia mkono wa kulia kwa shinikizo la wazazi na walimu.Jaribu kumpa kalamu mtoto mdogo anayeanza kuandika uone ataishika kwa mkono upi.Pia maandishi mengi kwenye lugha nyingi uanzia kushoto kwenda kulia,hivyo mkono sahihi wa kuandikia hasa kwetu sisi ulipaswa uwe wa kushoto
Na pia ametajwa zaidi kwenye Koran kuliko mwanamke yeyote yule zaidi hata ya mama yake mtume na hata wakeze.Pia kwenye Koran kuna sura inayoitwa Mariamu.Zaidi ya hilo Issa bin Mariam ametajwa mara nyingi zaidi kwenye Koran kuliko mtume Muhammad
Je wajua kuwa Mimi Ni mwanafunzi wa kidato cha NNE nimezindua website yenye vitabu vya sekondari ambayo huwasaidia wanafunzi wenzangu kusoma na website hii niliitengeneza mwenyewe wakati nikiwa kidato cha tatu. Website hiyo Ni www.elimuyetu.co.tz
Je wajua kuwa Mimi Ni mwanafunzi wa kidato cha NNE nimezindua website yenye vitabu vya sekondari ambayo huwasaidia wanafunzi wenzangu kusoma na website hii niliitengeneza mwenyewe wakati nikiwa kidato cha tatu. Website hiyo Ni www.elimuyetu.co.tz
Je wajua kuwa Mimi Ni mwanafunzi wa kidato cha NNE nimezindua website yenye vitabu vya sekondari ambayo huwasaidia wanafunzi wenzangu kusoma na website hii niliitengeneza mwenyewe wakati nikiwa kidato cha tatu. Website hiyo Ni www.elimuyetu.co.tz