Je wajua! .
Kicheche ndiye mnyama mdogo sana lakini ana maajabu makubwa.
Ana uwezo wa kumdaka kuku wa aina yoyote kwa kutumia mkia wake lakini cha ajabu zaid hawez kuish bila kufanya mapenzi, ana uwezo wa kufanya mapenzi mara 26 kwa siku pia ni sawa na kukimbia umbali wa Km 360 kwa siku.
Na ndio maana mwanamke & Wanaume malaya sana huitwa kicheche
najua wajua ila nakujuza zaidi.