Itakua uswahili ya huku mitandaoni ,Hali huko uswahilini kunaanza kuota mbegu ya chuki kutokana na sababu za kisiasa!Inabidi hatua za makusudi zichukuliwe vinginevyo kama taifa tunakoelekea siko Tuombe Mungo.
Sent using Jamii Forums mobile app
Uswahilini amani tupu, mitandaoni ndio uhasama wa kijinga unaendelezwa kwa kutumia fake ID Kama yakoHali huko uswahilini kunaanza kuota mbegu ya chuki kutokana na sababu za kisiasa!Inabidi hatua za makusudi zichukuliwe vinginevyo kama taifa tunakoelekea siko Tuombe Mungo.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hivi kweli mtu mwenye akili timamu unaweza kuwapenda hawa wanyonyaji?View attachment 1023298
Uswahilini amani tupu, mitandaoni ndio uhasama wa kijinga unaendelezwa kwa kutumia fake ID Kama yako
Sent using Jamii Forums mobile app
wee uko wapi mkuu ?Toa mifano - wapi umekuta watu wakitengana (misiba, harusi, michezo) nk sababu za kisiasa na itikadi??
Mfano hai ni mimi erythrocyte mkazi wa Tandika Mwembe YangaHawa wa huku mitandaoni ndio image ya mtaani, au unadhani wa huku mitandaoni wako kwenye ngome?
Ni huko ufipa sisi huku kwetu wanasema vyuma vimekaza ila kama kawaida wanapiga kazi na maisha yanasonga hayo ya chuki anayajua mleta threadToa mifano - wapi umekuta watu wakitengana (misiba, harusi, michezo) nk sababu za kisiasa na itikadi??
Hakuna lolote watu wanaendelea na maishaHawa wa huku mitandaoni ndio image ya mtaani, au unadhani wa huku mitandaoni wako kwenye ngome?
Hayo mambo ya kutengana katika shughuli za kijamii kwa sababu za kisiasa yapo Unguja na Pemba lakin kwa bara kama yameanza basi ni mtihaniHali huko uswahilini kunaanza kuota mbegu ya chuki kutokana na sababu za kisiasa!Inabidi hatua za makusudi zichukuliwe vinginevyo kama taifa tunakoelekea siko Tuombe Mungu. Baba wa Taifa alituacha tukiwa na upendo kwamaana ya kupendana wote tukiwa taifa moja leo ukiongelea mambo ya siasa za CCM Unaambiwa nyie mnakandamiza haki uhuru wakujieleza na kuwa CCM ni madkiteita...ukikuta kunaongelewa siasa za upinzani utasikia makuadi wa mabeberu mnakumbatia ushoga, nawanaenda mbali kwa kuwataja nakuwatukana viongozi wa upinzani hapa naongelea uswahilini ndiyo usiseme matusi hadharani na hakuna mamlaka inayozungumza juu ya utengamano huu.
Sent using Jamii Forums mobile app
PembaToa mifano - wapi umekuta watu wakitengana (misiba, harusi, michezo) nk sababu za kisiasa na itikadi??
akirudi nistuePemba