Je, wajua kuwa kwa Sasa Tanzania tumeanza kuchukiana kwa sababu za kiitikadi?

KakaKiiza

JF-Expert Member
Feb 16, 2010
11,584
8,605
Hali huko uswahilini kunaanza kuota mbegu ya chuki kutokana na sababu za kisiasa!Inabidi hatua za makusudi zichukuliwe vinginevyo kama taifa tunakoelekea siko Tuombe Mungu.

Baba wa Taifa alituacha tukiwa na upendo kwamaana ya kupendana wote tukiwa taifa moja leo ukiongelea mambo ya siasa za CCM Unaambiwa nyie mnakandamiza haki uhuru wakujieleza na kuwa CCM ni madkiteita.

Ukikuta kunaongelewa siasa za upinzani utasikia makuadi wa mabeberu mnakumbatia ushoga, nawanaenda mbali kwa kuwataja nakuwatukana viongozi wa upinzani hapa naongelea uswahilini ndiyo usiseme matusi hadharani na hakuna mamlaka inayozungumza juu ya utengamano huu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hali huko uswahilini kunaanza kuota mbegu ya chuki kutokana na sababu za kisiasa!Inabidi hatua za makusudi zichukuliwe vinginevyo kama taifa tunakoelekea siko Tuombe Mungo.

Sent using Jamii Forums mobile app
Itakua uswahili ya huku mitandaoni ,
Tz hiihii itokee lets say msiba watu wakutenge kisa siasa,No way,ktakua na sbab zngne ulipoona.
Unless una vivid example itoe,bila hvyo unafanya uchochezi bila kujua

Sent using Jamii Forums mobile app
 
dalili za hayo unayosema ndo naziona na ndo maana ilifikia mahali ccm hawavai madera yao uraiani wanaenda kuvalia kwenye zile fuso zinazowasomba kwenye mikutano yao
 
Hayo mambo ya kutengana katika shughuli za kijamii kwa sababu za kisiasa yapo Unguja na Pemba lakin kwa bara kama yameanza basi ni mtihani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…