mkafrend
JF-Expert Member
- May 12, 2014
- 3,047
- 1,503
Pemba
Sina hakika
Pemba
Ndiyo tunajuaHali huko uswahilini kunaanza kuota mbegu ya chuki kutokana na sababu za kisiasa!Inabidi hatua za makusudi zichukuliwe vinginevyo kama taifa tunakoelekea siko Tuombe Mungu. Baba wa Taifa alituacha tukiwa na upendo kwamaana ya kupendana wote tukiwa taifa moja leo ukiongelea mambo ya siasa za CCM Unaambiwa nyie mnakandamiza haki uhuru wakujieleza na kuwa CCM ni madkiteita...ukikuta kunaongelewa siasa za upinzani utasikia makuadi wa mabeberu mnakumbatia ushoga, nawanaenda mbali kwa kuwataja nakuwatukana viongozi wa upinzani hapa naongelea uswahilini ndiyo usiseme matusi hadharani na hakuna mamlaka inayozungumza juu ya utengamano huu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Itakua uswahili ya huku mitandaoni ,
Tz hiihii itokee lets say msiba watu wakutenge kisa siasa,No way,ktakua na sbab zngne ulipoona.
Unless una vivid example itoe,bila hvyo unafanya uchochezi bila kujua
Sent using Jamii Forums mobile app
Hamna mkuu, sie huku kwetu ndo kwanza tunaimarisha upendo kuliko wakati wowote. Masuala ya itikadi ya vyama hakuna kabisa kila mtu anahangaikia tonge lake
Hiyo mbegu aliipanda nani?Hali huko uswahilini kunaanza kuota mbegu ya chuki kutokana na sababu za kisiasa!Inabidi hatua za makusudi zichukuliwe vinginevyo kama taifa tunakoelekea siko Tuombe Mungu. Baba wa Taifa alituacha tukiwa na upendo kwamaana ya kupendana wote tukiwa taifa moja leo ukiongelea mambo ya siasa za CCM Unaambiwa nyie mnakandamiza haki uhuru wakujieleza na kuwa CCM ni madkiteita...ukikuta kunaongelewa siasa za upinzani utasikia makuadi wa mabeberu mnakumbatia ushoga, nawanaenda mbali kwa kuwataja nakuwatukana viongozi wa upinzani hapa naongelea uswahilini ndiyo usiseme matusi hadharani na hakuna mamlaka inayozungumza juu ya utengamano huu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Haya mambo ya mitandaoni hayana mahusiano na maisha halisi wanayoishi watanzania.
dalili za hayo unayosema ndo naziona na ndo maana ilifikia mahali ccm hawavai madera yao uraiani wanaenda kuvalia kwenye zile fuso zinazowasomba kwenye mikutano yao
Hivi kweli mtu mwenye akili timamu unaweza kuwapenda hawa wanyonyaji? View attachment 1023298
Mbona Lumumba mliwatenga wafiwa wa ..KigomaItakua uswahili ya huku mitandaoni ,
Tz hiihii itokee lets say msiba watu wakutenge kisa siasa,No way,ktakua na sbab zngne ulipoona.
Unless una vivid example itoe,bila hvyo unafanya uchochezi bila kujua
Sent using Jamii Forums mobile app
Usilolijua ni sawa na usiku wa giza, mwandishi wa mada yuko sahihi kuna maeneo sasa tunatengana kidini kikabila na mengineyo, Si afya kwa utaifa wetu, tuchukue hatuaItakua uswahili ya huku mitandaoni ,
Tz hiihii itokee lets say msiba watu wakutenge kisa siasa,No way,ktakua na sbab zngne ulipoona.
Unless una vivid example itoe,bila hvyo unafanya uchochezi bila kujua
Sent using Jamii Forums mobile app
Hawa wa huku mitandaoni ndio image ya mtaani, au unadhani wa huku mitandaoni wako kwenye ngome?
wee uko wapi mkuu ?
Mfano hai ni mimi erythrocyte mkazi wa Tandika Mwembe Yanga
Haiwezekani kamwe
In God we trust
Usilolijua ni sawa na usiku wa giza, mwandishi wa mada yuko sahihi kuna maeneo sasa tunatengana kidini kikabila na mengineyo, Si afya kwa utaifa wetu, tuchukue hatua
Unguja na Pemba. Chuki sa kisiasa zinahamia Tanganyika chini ya uangalizi wa chama tawala.Chickens come home to roost.Toa mifano - wapi umekuta watu wakitengana (misiba, harusi, michezo) nk sababu za kisiasa na itikadi??