unene sio ugonjwa sawa na vile wembamba sio uzima,vyote inategemea. huwezi kuhitimisha hata kama ww ni daktari kwa kusema unene ni ugonjwa,ukimaanisha kuwa wembamba ni uzima,japo hatari kubwa ya kuwa na mgonjwa ya tabia ipo zaidi kwa watu wanene kuliko watu wemba. Ukweli ni kwamba wembamba si kitambulisho cha afya njema wala sio kinyume chake...