Bipolar Member Apr 29, 2016 44 49 Oct 24, 2016 #1 Ningependa kujua kama AU au SADC nao watatuma International observers kwenye uchaguzi wa Marekani. Maana ni vyema kuhakikisha hawamchakachui mheshimiwa Trump.
Ningependa kujua kama AU au SADC nao watatuma International observers kwenye uchaguzi wa Marekani. Maana ni vyema kuhakikisha hawamchakachui mheshimiwa Trump.
Jambazi JF-Expert Member Jan 18, 2014 16,642 18,645 Oct 24, 2016 #2 Obama &ceo hawatolala watakuwa wanasambaza mabox fake ya kura !!!! cc Barbosa
fiddi JF-Expert Member Dec 6, 2015 351 224 Oct 24, 2016 #3 observers lazma wawepo ila kwa usa cdhani kama kuna gold la mh.nape
gaspar kauki JF-Expert Member May 17, 2014 578 194 Nov 1, 2016 #4 Hahaha mheshimiwa trump lazima achakachuliwe tuu maana kama waliiba ndani ya chama awashimdwi kwenye general election.
Hahaha mheshimiwa trump lazima achakachuliwe tuu maana kama waliiba ndani ya chama awashimdwi kwenye general election.
maalimu shewedy JF-Expert Member Jul 20, 2016 860 690 Nov 3, 2016 #6 Hapa Africa wakina Jecha mbona wapo wengi tuu