Je tuwaamini?

Pantosha

JF-Expert Member
Joined
Sep 22, 2022
Posts
869
Reaction score
1,282
Wakuu wa nchi za Africa wamekutana nchi Ethiopia ambayo ni makao makuu ya Umoja wa Africa huku agenda zao kuu ni pamoja na masula ya usalama, elimu, uchumi, nk.

Nauliza je tuwaamini kwamba watatuletea Amani, elimu bora pamoja na maendeleo?
 

Attachments

  • IMG_4724.png
    1.6 MB · Views: 6
Mgogoro mpya ni Senegal wasipokuwa makini Majeshi yanaweza kupindua.

AU wawe wakali kwa Wanajeshi ili warejeshe Madaraka kwa Raia.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…