Ni kweli kunahitajika Mifumo ya Ufuatiliaji na Udhibiti (Monitoring and Control Systems) Serikalini na Taasisi zake siyo kwa ajiri ya kupunguza gharama za uendeshaji bali kuchukua hatua haraka penye dalilibm za ubadhilifu.
Kinachotokea na kuendelea kwa sasa ni kutegemea ripoti ya CAG wakati ubadhilifu umekwishafanyika.
Katiba mpya haibadili tabia za watu ambazo hutegemea uwezo na usimamizi wa Kiongozi wa juu katika Kaya, Jamii, Taasisi, Kampuni, Serikali nk. Kama huyo Kiongozi hajali au naye ni mhusika hakuna shaka kuona mambo ya hovyo