Je, nyama ya paka inaliwa?

Mishikaki ya kwenye vituo vya Daladala asilimia kubwa ni ya Paka! Be warned!
unawaharibia wenzio biashara hao ndo wakikosa kazi huwa vibaka unauhakika gani kama ni ya paka sio vizuri ukiona kitu hukiamini ni bora ukae kimyaa
 
Kwanza ukila paka unakuwa msafi mstaarabu mwenye kutafuta vitu kwa kutumia akili tena kimya kimya paka jamani ni mtamu asikuambie mtu
 
Wapi pameandikwa nyama ya mbuzi inaliwa lakini ya paka hailiwi? Au kwanini wewe unakula mbuzi lakini paka hauli?
 
how easy?
Not so easy. Kuna makala iliandikwa jinsi jamaa mmoja alivyokuwa anawatega kwenye jalala kubwa. Alifuatiliwa sana hadi wakajua wapi anakaa na biashara yake. Siku ya kuvamia kwake alikuwa anawaandaa
 
Not so easy. Kuna makala iliandikwa jinsi jamaa mmoja alivyokuwa anawatega kwenye jalala kubwa. Alifuatiliwa sana hadi wakajua wapi anakaa na biashara yake. Siku ya kuvamia kwake alikuwa anawaandaa
sasa kwa ugumu wote huo.kwanini mtu ahangaike kutega mipaka hukoo..na kila siku lazima we nayo...hakuna absolute cost lakini kuna relative cost kubwa
 
sasa kwa ugumu wote huo.kwanini mtu ahangaike kutega mipaka hukoo..na kila siku lazima we nayo...hakuna absolute cost lakini kuna relative cost kubwa
Kama alternative nyingine ni kukaa bure, it's worth hizo efforts zake!
Utaamini hata mbwa huuzwa kama nyama ya mbuzi Dar?
 
ukitaka kujua kama inaliwa au hailiwi kaa na njaa kwa siku tatu then uletewe minofu ya nyau uone utaifanyaje.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…