Sounds like one night stand.....hivi, seriously, dada zangu naomba mniambie ukweli...whats wrong with one night stand? I mean mnapendana na mpenzio kabisaaaa....mwanaume kama hivyo mwanamke kajilengesha, nikala hapo kausiku kamoja tuu...na bado nampenda mpenzi wangu....whats wrong with that? (wanaume mtakaochangia mchukulie scenario kwamba mpenzi wako wa kike kapigwa one stand...lakini anakupemda bado, whats wrong with that?)..