Je mwanzo wa mwisho wa Bashir umewadia baada ya 'waarabu' wa Sudan kujitambua?

mpayukaji

JF-Expert Member
Oct 31, 2010
940
349

Wanafunzi wa Chuo Kikuu cha Khartoum wameamua kuutolea uvivu utawala wa muda mrefu wa kidikteta wa Omar Bashir kwa kuwataka wananchi waamke na kuuangusha wazi wazi. Pichani askari wakitumia nguvu kuwatawanya wanafunzi ambao wamekuwa wakiandamana kwa siku tano mfululizo. Kwa habari zaidi
BONYEZA hapa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…