Habari wakati huu..
Wakuu je kwanini tunataka katiba mpya?
Sikatai katiba tuliyonayo Ina madhaifu lukuki, hata katiba tulionayo inafatwa inavyotakikana?
Sote ni mashaidi katiba tuliyona haitekelezwi kikamilifu,je ni nini kitafanya katiba mpya itekelezwe ikiwa hii kuukuu haitekelezwi?.
Mfumo wetu ni mbovu na unaongozwa na wachache wenye nguvu...