Waende tu waone kesi itakavyo pigwa dana dana na kuahirishwa kwingi mpaka wakishinda uchaguzi utakua umepita.
ACT tuliwaambia msishiriki uchaguzi, wakasema watalinda kura. Haya sasa hata mgombea wameshindwa kumlinda.
Mzoefu akikuambia usitembee na mwanaume/mwanamke fulani ana ukimwi, jaribu kumuelewa.