Msaranga, mbona unanitisha? I'm smart na mke wangu ni smart pia na tunapendana mno (japo naibia nje kidogo ila nampenda mke wangu ile mbaya), sifikirii kumwacha hata siku moja kwani sioni mwanamke anayelingana naye huko nje. Kidogo naweza kumlinganisha na
FP hapa JFna ndiyo maana natamani sana kumuona yeye live nimpe offer ya mishikaki.