Umeona speach ya Obama kule uingereza, Tunataka maraisi kama wale. Sio Ngumbaro. Wacheni vijana wafanye siasa, wakomae. Siasa haina mwenyewe, inatuhusu sote. CDM kazaneni kutoa elimu ya uraia inaonekana bado kuna watu hawajakomboka kifikra, wana mawazo ya zidumu fikra za mwenyekiti.:biggrin1: