EMT
Platinum Member
- Jan 13, 2010
- 14,477
- 15,347
I was listening to the Beeb over the weekend. One of their weekly business fora. Topic ilikuwa leadership. Nafikiri kitakuwa katika rerun schedule hata sasa.
Jamaa mmoja panelist, mover and shaker wa kujimix na "The Davos Crowd", ma world leaders na global enterpreneurs anahojiwa akaulizwa mtu gani ana mu admire kwa leadership skills?
Nikafikiri atataja CEO wa Forbes 500 au kiongozi wa social movement inayojulikana sana.
Jamaa akamtaja mwalimu mmoja mwanamke kutoka Uganda vijijini huko, alikuwa impressed na jinsi huyu mwalimu alivyoweza kuji-organize with her meagre resources and in abject poverty kiasi cha kuwa na system nzuri tu ya kufundisha na kuepuka total colapse.
Akamtaja kwa jina, huyo ndiye mtu anayemu admire kati ya watu wote kwa uongozi. Huyu ni mtu ambaye kashakutana na world leaders kibao na ma jet set enterpreneurs wasio na idadi.
Nikaona duh, kibongobongo lazima mtu utaje a household name hapo!
Sijui kama ni huyo jamaa kwenye picha lakini baada ya Bill Gates kutembelea Bagamoyo na kukutana na mbongo mmoja aliporudi Marekani alitoa speech basi akawa anam-quote ideas za jamaa za kupambaba na malaria kila mara mpaka watu wakawa wanajiuliza who is this Tanzanian being referred na mtu kama Bill Gates?