Ndo maisha ya hao madem.....Hiyo picha ni movie au? Sielewi elewi mr. Ufafanuzi tafadhali
Ndiyo maana mm huwa sitaki kutongoza ovyo ovyo. Na siwezi kumtongoza mwanamke bila kupitia urafiki. Hii unisaidia kumjua kiundani zaidi, ndugu zake, rafiki n.kNdo maisha ya hao madem.....
Ndo mgeto wao, ukikutana nao club utasema watu wa maana kweli kumbe kavu tu
We jamaa unanishangaza sn,inaelekea ww ni wa mikoani,tangu lini ukatongoza demu club,bora ss umegundua club hakuna kutongoza.[emoji2]Nlipopata kazi kwa mara ya kwanza na kuanza kuishi jijini Dar Es Salaam kuna changamoto nlikumbana nazo kama kijana kijogoo, nlianza kujirusha maeneo ya kinondoni hasa masai club ambayo siku izi ni meridian club, nlikutana na binti mmoja pale anaitwa Caren (alinidanganya jina) tamaa zangu za chini zilisema ni binti mzuri sana natakiwa kuish nae geto awe dem ang kabisa, nkaanza kumpigia misele namtongoza ile kishua kabisa, kuna washkaji zangu wakanistukia mishe zangu za pimbi, nkapewa file la demu kumbe anadanga tu, af me natongoza maneno kibao na bier zangu anakula nampa na pesa, ndo nkagundua madem wa kinondon hawawi permanent wala hawatongizwi, unakata pochi tu unapewa papuchi...
Naomba tukutane apa wote mlofanyiwa janja janja na hawa madada maninja tuongee uloyashuhudia ikiwapo umafia wao ili tabia zao mbovu zisijirudie
Nlipopata kazi kwa mara ya kwanza na kuanza kuishi jijini Dar Es Salaam kuna changamoto nlikumbana nazo kama kijana kijogoo, nlianza kujirusha maeneo ya kinondoni hasa masai club ambayo siku izi ni meridian club, nlikutana na binti mmoja pale anaitwa Caren (alinidanganya jina) tamaa zangu za chini zilisema ni binti mzuri sana natakiwa kuish nae geto awe dem ang kabisa, nkaanza kumpigia misele namtongoza ile kishua kabisa, kuna washkaji zangu wakanistukia mishe zangu za pimbi, nkapewa file la demu kumbe anadanga tu, af me natongoza maneno kibao na bier zangu anakula nampa na pesa, ndo nkagundua madem wa kinondon hawawi permanent wala hawatongizwi, unakata pochi tu unapewa papuchi...
Naomba tukutane apa wote mlofanyiwa janja janja na hawa madada maninja tuongee uloyashuhudia ikiwapo umafia wao ili tabia zao mbovu zisijirudie
Ndo maisha ya hao madem.....
Ndo mgeto wao, ukikutana nao club utasema watu wa maana kweli kumbe kavu tu
Huo ni mchongoma wa lock up weekendDuh!!!! Mamaeee sio kwa huo mchongoma. .hiyo itakuwa mwananyamala kisiwani tu. kinondoni shamba au kinondoni Moscow