Jamani natafuta chumba kisizidi 40000

Jamani natafuta chumba kisizidi 40000

Wandugu natafuta chumba (gheto) maeneo ya ubungo, kimara kona, Msewe, baruti, kimara mwisho mpaka mbezi, kiwe umeme na maji yawepo around. Kisiwe mbalo sana na barabara kuu kiasi cha mtu kupanda bodaboda.

Namudu kulipa miezi 3-6 siyo zaidi.

Kwa mawasiliano.0715365934
 
Cheki na jamaa huyu...
Sio dalali Bali anapoishi nyumba bado mpya ina vyumba vingi, vizuri balaa.
0719644519
 
Wandugu natafuta chumba (gheto) maeneo ya ubungo, kimara kona, Msewe, baruti, kimara mwisho mpaka mbezi, kiwe umeme na maji yawepo around. Kisiwe mbalo sana na barabara kuu kiasi cha mtu kupanda bodaboda.

Namudu kulipa miezi 3-6 siyo zaidi.

Kwa mawasiliano.0715365934

Mim nakaa baruti, nina sebule na vyumba viwili, je waweza kuja panga kwangu japo pia nmepangishwa?
 
Wandugu natafuta chumba (gheto) maeneo ya ubungo, kimara kona, Msewe, baruti, kimara mwisho mpaka mbezi, kiwe umeme na maji yawepo around. Kisiwe mbalo sana na barabara kuu kiasi cha mtu kupanda bodaboda.

Namudu kulipa miezi 3-6 siyo zaidi.

Kwa mawasiliano.0715365934
kuna sehem uku changanyiken karibu na chuo kikuu dar es salaam anaitwa Jesus village
 
Wandugu natafuta chumba (gheto) maeneo ya ubungo, kimara kona, Msewe, baruti, kimara mwisho mpaka mbezi, kiwe umeme na maji yawepo around. Kisiwe mbalo sana na barabara kuu kiasi cha mtu kupanda bodaboda.

Namudu kulipa miezi 3-6 siyo zaidi.

Kwa mawasiliano.0715365934
Choo cha nje?.... cha kuchangia
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom