Nadhani unamaanisha Idara ya Maendeleo ya Jamii (Department of Community Development)? na sio Ustawi wa Jamii (Department of Social Work), kutokana na hoja ya mleta uzi
Kama unatarajia kuajiriwa baada ya kumaliza basi jua kabisa kwa kada hiyo wahitimu ni wengi sana mtaani kwahyo jiandae kisaikolojia rejea usemi huu "Struggle for the fittest"
Kama unatarajia kuajiriwa baada ya kumaliza basi jua kabisa kwa kada hiyo wahitimu ni wengi sana mtaani kwahyo jiandae kisaikolojia rejea usemi huu "Struggle for the fittest"