Sie tuna mwarabu mmoja anaitwa Aziz Abood, inavyosemekana Ndo mbunge we2 wa jimbo la Morogoro Mjini...Huyu ndo sidhani ka atakuja kuchangia, manake kipindi cha kampeni hata ile kutamka "KIDUMU CHAMA CHA MAPINDUZI" alikuwa hadi asome kwenye kalatasi..
Kazi ya mbunge ni kugawa pesa? kazi ya ubunge ni kuzuia Ukimwi? Kazi ya mbunge kuinua uchumi?
Kwa hiyo wewe ukipiga story na mbunge wako basi inatosha? Watanzania bana
Kwi kwi kwi!
Kwahiyo unataka mbunge akatoe Elimu ya kujikinga na Ukimwi?.
Mimi namtafuta mbunge wangu arumeru mashariki:Jeremia Solomon Sumari - sisiem
Wewe na ritz mna virusi kwenye ubongo wenu hivyo kuanzia leo nawashauri wanaJF kuwahurumia na kuwapuuza tu! Jamani mkiona mchango wowote wenye jina la Mzee,ritz na Ms ni bora tu kutosoma maana ni upupu mtupu, nawasihi wanaJF
Huyo siyo mbunge maana hajawahi kuapishwa, kimekula kwetu bandugu!
namshukuru sana Mungu, mbunge wangu mheshimiwa GODBLESS LEMA a.k.a MANDELA, ni msikivu, mara nyingi yupo jimboni kwake, tayari kuwasikiliza wananchi wake, na kutatua matatizo yao, hata huko aliko gerezani saivi, anatatua shida nyingi sana za wafungwa,,, the soo called MZEE, RITZ, RAJEO, na magamba yote, kunyweni sumu kama mnasikia hasira sana, au kuleni ukuta
hvi huyu mtu si ndo kaishia darasa la saba?
Sasa kwa ni mlichagua?Sie tuna mwarabu mmoja anaitwa Aziz Abood, inavyosemekana Ndo mbunge we2 wa jimbo la Morogoro Mjini...Huyu ndo sidhani ka atakuja kuchangia, manake kipindi cha kampeni hata ile kutamka "KIDUMU CHAMA CHA MAPINDUZI" alikuwa hadi asome kwenye kalatasi..
Hadi akajenga four star hotel LAKAIRO kule uswahilini kirumba na wewe jitahidi uuze dagaa utatajirikaHata la saba hakumaliza. Alianza kutembeza karanga na sigara la tatu
Hizo si kazi zake, lakini cha ajabu wenyewe wamekuwa wakiomba waongezewe posho na mishahara ili wakafanye kazi hizo hizoKazi ya mbunge ni kugawa pesa? kazi ya ubunge ni kuzuia Ukimwi? Kazi ya mbunge kuinua uchumi?
Juzi nilimsindikiza jamaa yangu kwenye msiba wa mdogo wake Morogoro mjini, wenyeji wa Morogoro wanamsifia sana Abood Aziz kuwa ukifiwa na ndugu yako huhitaji kupiga simu kuomba gari ya kwenda kuzika, unashitukia imeshafika tu. Amejitolea basi lake moja kufanya kazi hiyo. Nilipowauliza vipi kumkimbiza mgonjwa kuwahi matibabu walidai unatakiwa kuchangia mafuta ya ambulance ya hosp. Ndugu yangu YEYE watu wa Moro wakikusikia unamsema vibaya Aziz Abood utawakoma. Mwezi wa Ramadhani mchele, sukari nk. anagawa bure unataka kazi zipi afanye mbunge? Viwanda alivyopewa na serikali amegeuza Studio za Redio Abood na ATV Moro wanakula muziki tu kwa raha zao.