nzagambadume
JF-Expert Member
- Apr 9, 2018
- 2,430
- 5,769
Mheshimiwa afande Sirro ulisema itachukua siku 3 kitu kinawekwa peupeeeee, uliyasema hayo tarehe 11 leo imepita 2 weeks au ndo yale mambo ya kuwafanya wabongo wajinga????
Wafanyabiashara wawekezaji waliogopa sana kwa kile kitendo, It is high time muweke mambo hadharani kurudisha imani jameni,ikibidi kamanda mambosasa ambaye hakulala wakati anamsaka Mo hadi kumpata apewe nishani ya utumishi uliotukuka maana hata juzi kafanya kazi kubwa sana kuzuia fujo pale Pr shamba la bibi kwa kuzuia ATC kupokea wanachama 12,000 baada ya kupata intelejensia ripoti kwamba wahunui wa CUF wataenda kufanya fujo.
Report jamani, report hiyoooo si mnaona hata MO hana amani moyoni bado,embu angalia hii picha.
Wafanyabiashara wawekezaji waliogopa sana kwa kile kitendo, It is high time muweke mambo hadharani kurudisha imani jameni,ikibidi kamanda mambosasa ambaye hakulala wakati anamsaka Mo hadi kumpata apewe nishani ya utumishi uliotukuka maana hata juzi kafanya kazi kubwa sana kuzuia fujo pale Pr shamba la bibi kwa kuzuia ATC kupokea wanachama 12,000 baada ya kupata intelejensia ripoti kwamba wahunui wa CUF wataenda kufanya fujo.
Report jamani, report hiyoooo si mnaona hata MO hana amani moyoni bado,embu angalia hii picha.