Jamani naombeni fundi mzuri wa kuniwekea dish la free???nimechoka na hivi ving`amuzi. Hawa zuku hakuna lolote,unalipia 40,000 kwa mwezi kuangalia news na movies za kawaida tu bila mpira??kwanza kinachonishangaza ukipiga customer care ni wakenya wapo tuu, ina maana watanzania hata customer care hatuwezi??hivi hii mikataba inasainiwa na nani??haina maslahi na nchi????