T The Gentleman Pirate JF-Expert Member Joined Dec 11, 2012 Posts 1,476 Reaction score 949 Aug 26, 2013 #1 Jaji Francis S.Mutungi aliyeteuliwa na Rais kuwa msajili wa vyama vya siasa akichukua nafasi iliyoachwa wazi na Tendwa,ataapishwa leo,,,nitajitahidi kama nikiweza kuwawekea picha toka tukioni,,,
Jaji Francis S.Mutungi aliyeteuliwa na Rais kuwa msajili wa vyama vya siasa akichukua nafasi iliyoachwa wazi na Tendwa,ataapishwa leo,,,nitajitahidi kama nikiweza kuwawekea picha toka tukioni,,,
yegella JF-Expert Member Joined Nov 18, 2010 Posts 3,113 Reaction score 1,104 Aug 26, 2013 #2 ukiwa nae mwambie afanye kazi ya watanzania siyo ya ccm..
T The Gentleman Pirate JF-Expert Member Joined Dec 11, 2012 Posts 1,476 Reaction score 949 Aug 26, 2013 Thread starter #3 yegella said: ukiwa nae mwambie afanye kazi ya watanzania siyo ya ccm.. Click to expand... oooh haina shida mkuu,,,
yegella said: ukiwa nae mwambie afanye kazi ya watanzania siyo ya ccm.. Click to expand... oooh haina shida mkuu,,,
H Hosida Member Joined Oct 21, 2008 Posts 71 Reaction score 12 Aug 26, 2013 #4 Tunamtakia kila la heri!
mpigakura mlipakodi Senior Member Joined Apr 24, 2013 Posts 143 Reaction score 34 Aug 26, 2013 #5 Hivi baada ya katiba mpya huyu mtu ataendelea kuwa mteuliwa wa Rais wetu?