Hahahahha kwa hiyo ukiwa unaangalia tv/picha ukaona watu wa mbele ni wakubwa kuliko wa nyuma huwa unaamini wako hivyo katika uhalisia??
Kwa kukusaidia tu object huwa inapungua size kadri inavyokua mbali na kamera and vice versa.
Hahahahha kwa hiyo ukiwa unaangalia tv/picha ukaona watu wa mbele ni wakubwa kuliko wa nyuma huwa unaamini wako hivyo katika uhalisia??
Kwa kukusaidia tu object huwa inapungua size kadri inavyokua mbali na kamera and vice versa.
Mkuu hiyo theory naielewa sana wakati mwingine hapa tunaburudisha jukwaa kupunguziana stress. Yote kwa yote asante kwa somo kwa niaba ya wale ambao walikuwa hawafahamu