ITV nimeona mende...

b191

JF-Expert Member
Joined
Jul 24, 2016
Posts
742
Reaction score
1,032
Habari wanajamvi,

Taarifa ya habari ya Leo 8/7/2017, wakati wa Habari za Michezo hususani habari kuhusu UCHAGUZI WA SOKA LA WANAWAKE TANZANIA. Wakati msimazi wa Uchaguzi akiongea nimeona Mende nyuma ya muongeaje akiranda randa mlangoni.

Mh!..
 
haahahhahahhahahahaahahhhaahaahaahahahaha aise umetisha mkuu
 
Mweuc kinoma, kwel leo wame bugi step aise
 
hata mm nimemwona, nimebadili Chanel haraka maana nimeogopa sana.
 
Kuna lingine la maana zaidi ya hilo unaweza kutushirikisha mkuu?
 
Mende ameleta habari studio kuwa Mheshimiwa H. Mdee bado yupo selo. Masaa 48 hayajafika!
 
Balaa... Mengi anakula bata na kimwana na mapacha wake. Kuna vitu huwa ni gundu sana kqenye biashara.
 
Huyo mende anaweza kwenda na watu, mleta Uzi ungekausha tu!
 
Jama, Inzi, mbu, mende, sisimizi, mijusi, kunguru, ndege hawa ni viumbe ambao hutegemea riziki kutoka kwa binadamu. Nadhani ungeona Simba, au Chui, au Tembo kakatiza, hiyo nadhani ingekuwa habari.
Mbona kukuta uchafu barabarani sio habari?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…