yanga bwana
JF-Expert Member
- Aug 14, 2015
- 300
- 47
Hata Mimi Wameniboa Sana. Msiwaogope CCM, Watakuwa Wapinzani Soon. Tunawaomba Nyeupe ibaki Nyeupe,na Nyeusi
Ibaki Nyeusi Msifiche Kitu Hata Kama Ni UKAWA/CCM. Haiwezekani Rais Wetu Eddo Lowassa Aende Kusaini Form Mahakamani
Mkashindwa Kuliona Hilo Na Badala yake Mkamwona Dr. Magufuli tu na MaCCM wenzake..