wakati najaribu kufuatilia observation ya JK kutokujua ni kwa nini nchi ni masikini, nimeanza kupata mawazo kuwa mchango mkubwa wa umasikini tulionao na udumavu wa mawazo unachangiwa na vyombo vyetu vya habari.
Sababu zinaweza kuwa nyingi lakini upeo wa hawa jamaa ni mdogo ambao umesababishwa na elimu duni labda. Fikiria ju ya hilo pia!